Wednesday, October 21, 2009

BENZINO

Rashidi Abdallah Makwiro (amezaliwa 1985) ni rapa wa muziki wa hip hop kutoka nchini Tanzania. Anafahamika sana kwa jina la kisanii kama Chid Benz. Yeye ndiye mwanzilishi na ndiye kiongozi wa kundi la wasanii wa Ilala almaarufu kama LAFamilia.[1] Benz anasifika sana kwa kupata ushirika mwingi kwa sasa kuliko msanii yeyote yule kwa Tanzania. Amewahi kushirikiana na Stara Thomas, Ray C., Lady Jay Dee, Tunda Man, Spark, Mwasiti, Mangwair, Maunda Zorro, na wengine wengi tu.

TEST 3

TEST 3

TEST 3

KULA RAHA MAFIA, MAN TUNA SEHEMU NYINGI ZA STAREHE NA ZA KUVUTIA SANA BONGO

TEST 2

YALIYOJIRI

Naacha muziki - Chid Benz
Msanii anayebamba zaidi ktk muziki wa Hiphop nchini hivi sasa Chid bez ametangaz akuacha muziki kwa kile alichosema hawezi kuwa mtu wa kuomba msamaha kila siku na watu wakamuelewa.




Chid amezungukwa na utata ktk siku za karibuni baada ya kuripotiwa kumpiga msanii mwenzake Matonya wakati wa tamasha lililofanyika mjini Dodoma.

Rapa huyo wa ilala amesema amefikia uamuzi wa kuachana na muziki kutokana na matatizo yanayomwandama ...huku akigoma kueleza undani wa tukio la kumpiga Matonya.

"Naheshimu kazi yangu, naheshimu mashabiki wangu. Sina ubavu wa kulielezea kila jambo, ila ki-ukweli! ushindani UpO kwa sisi wasanii. Na kwa kazi yetu lazima kuwe na maneno mengi. Siwezi kuomba msamaha kila siku, najua nazidi kuwaudhi mashabiki wangu. Na kiukweli niko juu (hivyo) kila mwenzangu kazini anafurahia ninapopatwa na matatizo kama haya."

..."Mashabiki wasini-judge (wasinihukumu) vibaya.....Waamini kuwa hata rais
wetu (Jakaya Kikwete) anayependwa sana, toka awe madarakani amekuwa
akipata matatizo mengi nafikiri kuliko rais yeyote aliyewahi kuwa madarakani."

"Kuna mengi yanatokea katika hiili game lakini nafikiri ya kwangu
yamekuwa na bahati ya kusemwa hadharani japo sio makubwa sana ila yanaendana na nilivyo kwa sasa."

"Nashukuru kuna watu hawachoki kunipa sapoti...naheshimu leo....Nafikiria Fiesta ya Dar Nov 8 kama nitaruhusiwa kufanya onyesho ndio itakuwa show yangu ya mwisho.

Tukio dhidi ya Matonya ni la pili ktk miezi michache baada ya hivi karibuni kufikia kuomba msamaha hadharani kufuatia tukio lililoripotiwa sana la kumpiga Prof Jay.



Gonga hapa kutoa maoni yako kuhusu story hii...!!!
Gonga hapa kusoma maoni hayo...!!!

TEST

Rashidi Abdallah Makwiro (amezaliwa 1985) ni rapa wa muziki wa hip hop kutoka nchini Tanzania. Anafahamika sana kwa jina la kisanii kama Chid Benz. Yeye ndiye mwanzilishi na ndiye kiongozi wa kundi la wasanii wa Ilala almaarufu kama LAFamilia.[1] Benz anasifika sana kwa kupata ushirika mwingi kwa sasa kuliko msanii yeyote yule kwa Tanzania. Amewahi kushirikiana na Stara Thomas, Ray C., Lady Jay Dee, Tunda Man, Spark, Mwasiti, Mangwair, Maunda Zorro, na wengine wengi tu.